Top Ad unit 728 × 90

.

Video,Chid Benz Asomewa Mashitaka,Arudishwa Rumande.

Rapper Chid Benz mchana huu amesimamishwa kizimbani katika mahakama ya Kisutu na kusomewa mashtaka matatu ambayo ni

1. Kukutwa na dawa za kulevya
2. Kusafirisha  dawa ya kulevya
3. Kukutwa
na vifaa vya kutayarishaji uvutaji wa madawa

 
Chidi Benz amerudishwa rumande hadi Novemba 11 ambapo ataletwa tena kizimbani.Dhamana itakuwa wazi kwa masharti ya kuwa na wadhamini wawili wanaoaminika na pesa taslimu milioni 1.


Sammisago.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia >> Instagram , Twitter Na Facebook
Video,Chid Benz Asomewa Mashitaka,Arudishwa Rumande. Reviewed by Unknown on Tuesday, October 28, 2014 Rating: 5
All Rights Reserved by SamMisago.Com © 2014 - 2015
WebDesigned by iDodo enterprises

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.