Kuhusu Wema Kumbusu Mdomoni Aunt Ezekiel,Haya Majibu Yake Aliyonipa Leo Mchana
Picha zinazomuonyesha Wema Sepetu akimbusu rafiki yake Aunt Ezekiel zimeleta maswali mengi kutok kwa watu wanaofuatilia maisha ya mastaa hawa, yakiwemo je ni wapenzi wa jinsia moja au walikuwa wamelewa wakati wanafanya mambo haya.
"Kissing on the lips kwa girls to girls is very very okey, its not ok kwa men to girls or men to men, kwa girls to girl kama u r close and attached, its ok, i kiss my mum and my sister on thier lips"
Sammisago.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia Instagram , Twitter Na Facebook
Kwenye Interview leo Wema ameniambia "Yes i kissed her like i kiss any person who is so close to me" Wema aliendelea kusema "Its not only her, i kiss my mum, my daughter, ma sister , people who are close to me i kiss them "
Wema ameniambia kukiss mtu ambaye yupo karibu na wewe sana ni kawaida na haswa wasichana wanaopendana na ni marafiki ni kawaida kwao kukiss kwenye lips na sio denda kama inavyotafsiriwa.
Wema ameniambia kukiss mtu ambaye yupo karibu na wewe sana ni kawaida na haswa wasichana wanaopendana na ni marafiki ni kawaida kwao kukiss kwenye lips na sio denda kama inavyotafsiriwa.

Sammisago.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia Instagram , Twitter Na Facebook
Kuhusu Wema Kumbusu Mdomoni Aunt Ezekiel,Haya Majibu Yake Aliyonipa Leo Mchana
Reviewed by Unknown
on
Friday, October 31, 2014
Rating:
