Top Ad unit 728 × 90

.

Angelina Jolie Kuacha Kuigiza,Hii Ndio Kazi Anataka Kufanya Sasa.

Mwigizaji Angelina Jolie ambaye kwa sasa yupo kwenye ziara tofauti akitangaza kazi mpya aliyosimamia na kuongoza "Unbroken" amezungumzia kuacha kuigiza kabisa na kuanza kazi rasmi ya kuongoza filamu.

Kwenye interview na jarida la DuJour Jolie amesema " sijawahi kujiskia huru kuigiza japokuwa napendwa nikiwa mbele ya camera, sidhani kama nitaweza kuwa muongozaji bora kama navyotaka ila ndio kitu nataka kufanya sasa"

Kwa sasa Jolie anaongoza filamu "By The Sea" ambayo ameigiza na mume wake Brad Pitt. 


Sammisago.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia Instagram , Twitter Na Facebook   
Angelina Jolie Kuacha Kuigiza,Hii Ndio Kazi Anataka Kufanya Sasa. Reviewed by Unknown on Thursday, November 20, 2014 Rating: 5
All Rights Reserved by SamMisago.Com © 2014 - 2015
WebDesigned by iDodo enterprises

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.