Hasheem Thabeet Amerudi Tena D-League,Ataroll Na Grand Rapids Drive.
Mtanzania anayepeperusha bendera ya nchi yake kwenye Nba, Hasheem Thabeet amerudi kwenye D-League baada ya kusajiliwa na Grand Rapids Drive.
Kabla ya kwenda D-League kwa mara ya pili, Hasheem alikataa kwenda kwenye timu za Ulaya ambazo zilionyesha nia ya kumsajili.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Detroit Pistons, "Hasheem anaweza kurudi kwenye NBA Muda wowote na uwezekano bado upo" alinukuliwa Andrew Loomis.
Sammisago.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia Instagram , Twitter Na Facebook
Kabla ya kwenda D-League kwa mara ya pili, Hasheem alikataa kwenda kwenye timu za Ulaya ambazo zilionyesha nia ya kumsajili.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Detroit Pistons, "Hasheem anaweza kurudi kwenye NBA Muda wowote na uwezekano bado upo" alinukuliwa Andrew Loomis.
Sammisago.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia Instagram , Twitter Na Facebook
Hasheem Thabeet Amerudi Tena D-League,Ataroll Na Grand Rapids Drive.
Reviewed by Unknown
on
Monday, November 03, 2014
Rating:
