Lupita Nyong'o Kwenye Jarida La Glamour Kama 'Mwanamke Wa Mwaka' Mambo Matano Aliyosema Ndio Haya.
Lupita Nyong'o amekava Jarida La Glamour kama 'Mwanamke Wa Mwaka' na haya ndio mambo matano aliyosema kuhusu maisha yake.
1] Anapenda sana kuigiza ila anapata changamoto nyingi kuishi kama mtu maarufu.
2] Ndani ya mwaka mmoja ametoka kwenye kuangalia Tuzo za Oscar kwenye Tv mpaka kushinda tuzo ya Oscar.
3] Imehamasishwa sana na maisha ya Oprah.
4] Aliambiwa yeye ni mzuri akiwa nyumbani ila vyombo vya habari vilimpa mtazamo tofauti.
5] Ameteka watu wengi na style yake inayoitwa 'The Lupita Effect'
1] Anapenda sana kuigiza ila anapata changamoto nyingi kuishi kama mtu maarufu.
2] Ndani ya mwaka mmoja ametoka kwenye kuangalia Tuzo za Oscar kwenye Tv mpaka kushinda tuzo ya Oscar.
3] Imehamasishwa sana na maisha ya Oprah.
4] Aliambiwa yeye ni mzuri akiwa nyumbani ila vyombo vya habari vilimpa mtazamo tofauti.
5] Ameteka watu wengi na style yake inayoitwa 'The Lupita Effect'

Lupita Nyong'o Kwenye Jarida La Glamour Kama 'Mwanamke Wa Mwaka' Mambo Matano Aliyosema Ndio Haya.
Reviewed by Unknown
on
Monday, November 03, 2014
Rating:
