Top Ad unit 728 × 90

.

Snoop Dogg Atoa Sababu Ya Kuvuta Bangi Na Inavyomsaidia.

Baada Ya Kuonyesha uwezo wake wa uchoraji rapper Snoop Dogg amefanyiwa interview na jarida la Paper kuhusu kipaji hicho na jinsi bangi inavyomsaidia.

Snoop Dogg amesema " Bangi inamsaidia kuwa na mtazamo bora, kuwa ndani ya kazi yenyewe na 'FOCUS' ya maana, unajua unaweza tupia marangi tu ukutani ukatoa kitu ila ukiwa na muda wa kukitazama na kukifikiria kitatoka bora zaidi

Snoop amekuwa akiongelewa kama mtumiaji marijuana wa muda mrefu kwenye sana na iliaminika kuwa ina msaidia kwenye muziki tu, sasa kumbe hata kwenye sanaa zingine inatoa msaada. 

Sammisago.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia Instagram , Twitter Na Facebook   
Snoop Dogg Atoa Sababu Ya Kuvuta Bangi Na Inavyomsaidia. Reviewed by Unknown on Thursday, November 20, 2014 Rating: 5
All Rights Reserved by SamMisago.Com © 2014 - 2015
WebDesigned by iDodo enterprises

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.