Kuhusu Klabu ya Simba Kuwasimamisha wachezaji wake watatu.
Kamati ya Utendaji ya Klabu ya Simba leo
imetangaza kuwasimamisha wachezaji wake watatu ambao ni HARUNA
CHANONGO, AMRI KIEMBA na SHAABAN KISIGA kwa tuhuma za kuhusika kuihujumu timu na kuisababishia matokeo yasiyoridhisha.
Pia Kamati hiyo inawachunguza kocha msaidizi Suleiman Matola pamoja na Daktari wa timu kwa kuhusika katika hujuma hizo.
Kamati hiyo imetoa mechi TATU kwa benchi zima la ufundi kuhakikisha timu inafanya vizuri kwa kupata kati ya pointi 7 hadi 9 vinginevyo italifanyia mabadiliko makubwa benchi hilo.
Katika msimu huu wa 2014/15, Simba imecheza mechi 5, imefunga magoli 5, imefungwa magoli 5, imetoka sare mechi 5 na ina point 5.
Pia Kamati hiyo inawachunguza kocha msaidizi Suleiman Matola pamoja na Daktari wa timu kwa kuhusika katika hujuma hizo.
Kamati hiyo imetoa mechi TATU kwa benchi zima la ufundi kuhakikisha timu inafanya vizuri kwa kupata kati ya pointi 7 hadi 9 vinginevyo italifanyia mabadiliko makubwa benchi hilo.
Katika msimu huu wa 2014/15, Simba imecheza mechi 5, imefunga magoli 5, imefungwa magoli 5, imetoka sare mechi 5 na ina point 5.
Kuhusu Klabu ya Simba Kuwasimamisha wachezaji wake watatu.
Reviewed by Unknown
on
Sunday, October 26, 2014
Rating:
