Top Ad unit 728 × 90

.

Bado Ray J Anatengeneza Pesa Kutokana Na Mkanda Wa Ngono Na Kim Kardashian,Hizi Za Wiki Iliyopita Tu.

Baada ya staa Kim Kardashian kuvunja Internet na picha yake ya utupu kwenye cover la jarida la Paper, mpenzi wake wa zamani Ray J amezidi kutengeneza pesa kutokana na mauzo ya mkanda wao wa ngono waliorekodi zamani. . 

Vivid Entertainment imeuambia mtandao wa TMZ Kuwa mkanda wa Kim na Ray J unaoitwa Kim K Superstar imapata mauzo makubwa kutokana na picha za Kim K.

Ray J ambaye ni mdogo wake Brandy ametengeneza dola Elfu 50 '$50,000' wiki iliyopita pekee kwa mujibu wa rais wa Vivid Steve Hirsch,
Sammisago.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia Instagram , Twitter Na Facebook   
Bado Ray J Anatengeneza Pesa Kutokana Na Mkanda Wa Ngono Na Kim Kardashian,Hizi Za Wiki Iliyopita Tu. Reviewed by Unknown on Thursday, November 20, 2014 Rating: 5
All Rights Reserved by SamMisago.Com © 2014 - 2015
WebDesigned by iDodo enterprises

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.