Top Ad unit 728 × 90

.

Cam'ron Azungumzia Mauzo Makubwa Ya Mask Za Ebola Alizobuni,Mpaka Sasa Kauza Ngapi


Rapper Cam'ron aliyetangaza hivi karibuni kuwa anauza mask za kuziba midomo na pua kwa wale wanaotaka kujikinga na Ebola na bado kuwa na muonekano mzuri amesema mpaka sasa ameuza mask 5000. 

Akiongea na Tmz Cam'ron aliulizwa kama mask hizo zinaweza kuzuia Ebola, alichojibu ni kwamba yeye sio mwana sayansi wala mtalamu wa magonjwa ila kama upo tayari kununua mask zinazouzwa kwenye maduka ya dawa za mafua basi ata zake zinafanya kazi hio.

Mask ya Cam'ron inauzwa dola 19.99 na zitasambazwa kwenye maduka sehemu tofauti duniani November 7.
Sammisago.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia Instagram , Twitter Na Facebook   
Cam'ron Azungumzia Mauzo Makubwa Ya Mask Za Ebola Alizobuni,Mpaka Sasa Kauza Ngapi Reviewed by Unknown on Monday, November 03, 2014 Rating: 5
All Rights Reserved by SamMisago.Com © 2014 - 2015
WebDesigned by iDodo enterprises

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.