Top Ad unit 728 × 90

.

Karrueche Tran Anaujauzito,Rafiki Aweka Picha Na Kuandika “Congratulations I hope is a boy” Na Nyumba Aliyopangishiwa Na Chris Brown.

Mtandao wa Tmz umeripoti kuwa msanii wa Rnb Chris Brown amempangishia mpenzi wake wa muda mrefu nyumba baada ya kugundua kuwa Karrueche anaujauzito na anahitaji kuwa kwenye mazingira bora zaidi.

Chris Brown na Karrueche Tran wamekuwa wapenzi toka mwaka 2009 na sasa wataishi pamoja kwenye nyumba hio iliyopo Los Angeles inayolipiwa dola $4,600  kwa mwezi.
Gari ya Chris Brown Nje Ya Nyumba Ya Tran
 
Sammisago.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia Instagram , Twitter Na Facebook   

Karrueche Tran Anaujauzito,Rafiki Aweka Picha Na Kuandika “Congratulations I hope is a boy” Na Nyumba Aliyopangishiwa Na Chris Brown. Reviewed by Unknown on Tuesday, November 18, 2014 Rating: 5
All Rights Reserved by SamMisago.Com © 2014 - 2015
WebDesigned by iDodo enterprises

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.